Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 23:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 Wana wa Musa; Gershomu na Eliezeri.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Wana wa Mose walikuwa Gershomu na Eliezeri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Wana wa Mose walikuwa Gershomu na Eliezeri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Wana wa Mose walikuwa Gershomu na Eliezeri.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Wana wa Musa walikuwa: Gershomu na Eliezeri.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Wana wa Musa walikuwa: Gershomu na Eliezeri.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 23:15
5 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini kwa habari za Musa, mtu wa Mungu, wanawe hutajwa miongoni mwa kabila la Lawi.


Wana wa Gershomu; Shebueli mkuu wao.


Huyo akamzalia mtoto wa kiume, akamwita jina lake Gershomu, maana alisema, Nimekuwa mgeni katika nchi ya ugeni.


Basi Musa akamchukua mkewe na wanawe, na kuwapandisha juu ya punda, naye akarudi mpaka nchi ya Misri; na Musa akaichukua ile fimbo ya Mungu mkononi mwake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo