1 Mambo ya Nyakati 23:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC13 Wana wa Amramu; Haruni na Musa; naye Haruni akatengwa, ili ayatakase yaliyo matakatifu sana, yeye na wanawe milele, ili kufukiza uvumba mbele za BWANA, kumtumikia, na kubariki kwa jina lake, milele. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Wana wa Amramu walikuwa Aroni na Mose. Aroni aliteuliwa awe akiweka wakfu vyombo vitakatifu kabisa, pia wazawa wake daima wafukizie ubani mbele za Mwenyezi-Mungu, wakimtumikia na kuwabariki watu katika jina la Mwenyezi-Mungu milele. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Wana wa Amramu walikuwa Aroni na Mose. Aroni aliteuliwa awe akiweka wakfu vyombo vitakatifu kabisa, pia wazawa wake daima wafukizie ubani mbele za Mwenyezi-Mungu, wakimtumikia na kuwabariki watu katika jina la Mwenyezi-Mungu milele. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Wana wa Amramu walikuwa Aroni na Mose. Aroni aliteuliwa awe akiweka wakfu vyombo vitakatifu kabisa, pia wazawa wake daima wafukizie ubani mbele za Mwenyezi-Mungu, wakimtumikia na kuwabariki watu katika jina la Mwenyezi-Mungu milele. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Wana wa Amramu walikuwa: Haruni na Musa. Haruni waliwekwa wakfu, yeye na wazao wake milele, wawe wakiweka wakfu vitu ambavyo ni vitakatifu mno, kutoa dhabihu mbele za Mwenyezi Mungu, kuhudumu mbele zake na kubariki katika Jina la Mwenyezi Mungu milele. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Wana wa Amramu walikuwa: Haruni na Musa. Haruni waliwekwa wakfu, yeye na wazao wake milele, wawe wakiweka wakfu vitu ambavyo ni vitakatifu mno, kutoa dhabihu mbele za bwana, kuhudumu mbele zake na kutamka baraka katika Jina la bwana milele. Tazama sura |