1 Mambo ya Nyakati 22:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC19 Basi sasa jitieni moyo na nia kumtafuta BWANA, Mungu wenu; inukeni basi, mkamjengee BWANA Mungu mahali patakatifu, ili kulileta sanduku la Agano la BWANA, na vyombo vitakatifu vya Mungu, ndani ya nyumba itakayojengwa kwa ajili ya jina la BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Sasa, mtumikieni Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, kwa nia na moyo wote. Shime basi! Mjengeeni Mwenyezi-Mungu mahali patakatifu ili sanduku la agano la Mwenyezi-Mungu pamoja na vyombo vyote vitakatifu vitumiwavyo katika ibada, viwekwe ndani ya nyumba iliyojengwa kwa ajili ya Mwenyezi-Mungu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Sasa, mtumikieni Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, kwa nia na moyo wote. Shime basi! Mjengeeni Mwenyezi-Mungu mahali patakatifu ili sanduku la agano la Mwenyezi-Mungu pamoja na vyombo vyote vitakatifu vitumiwavyo katika ibada, viwekwe ndani ya nyumba iliyojengwa kwa ajili ya Mwenyezi-Mungu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Sasa, mtumikieni Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, kwa nia na moyo wote. Shime basi! Mjengeeni Mwenyezi-Mungu mahali patakatifu ili sanduku la agano la Mwenyezi-Mungu pamoja na vyombo vyote vitakatifu vitumiwavyo katika ibada, viwekwe ndani ya nyumba iliyojengwa kwa ajili ya Mwenyezi-Mungu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Sasa itoeni mioyo yenu na nafsi zenu katika kumtafuta Mwenyezi Mungu, Mungu wenu. Anzeni kujenga Maskani ya Bwana Mwenyezi Mungu, ili mweze kulileta Sanduku la Agano la Mwenyezi Mungu na vyombo vitakatifu vya Mungu katika Hekalu litakalojengwa kwa ajili ya Jina la Mwenyezi Mungu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Sasa itoeni mioyo yenu na nafsi zenu katika kumtafuta bwana Mwenyezi Mungu wenu. Anzeni kujenga Maskani ya bwana Mwenyezi Mungu, ili mweze kulileta Sanduku la Agano la bwana na vyombo vitakatifu vya Mungu katika Hekalu litakalojengwa kwa ajili ya Jina la bwana.” Tazama sura |