Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 22:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Sasa mwanangu, BWANA na awe pamoja nawe; ukafanikiwe, na kuijenga nyumba ya BWANA, Mungu wako, kama alivyonena kuhusu habari zako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Sasa mwanangu, Mwenyezi-Mungu, Mungu wako na awe pamoja nawe ili ufaulu kumjengea nyumba kama alivyosema.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Sasa mwanangu, Mwenyezi-Mungu, Mungu wako na awe pamoja nawe ili ufaulu kumjengea nyumba kama alivyosema.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Sasa mwanangu, Mwenyezi-Mungu, Mungu wako na awe pamoja nawe ili ufaulu kumjengea nyumba kama alivyosema.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 “Sasa, mwanangu, Mwenyezi Mungu awe pamoja nawe, nawe uwe na mafanikio upate kuijenga nyumba ya Mwenyezi Mungu, Mungu wako, kama alivyosema utafanya.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 “Sasa, mwanangu, bwana awe pamoja nawe, nawe uwe na mafanikio upate kuijenga nyumba ya bwana Mwenyezi Mungu wako, kama alivyosema utafanya.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 22:11
11 Marejeleo ya Msalaba  

ya dhahabu, ya fedha, na ya shaba, na ya chuma, hapana hesabu; basi inuka ushike kazi, naye BWANA na awe pamoja nawe.


Kisha Daudi akamwambia Sulemani mwanawe, Uwe hodari, mwenye moyo mkuu, ukatende hivyo; usiogope wala usifadhaike; kwa kuwa BWANA, Mungu, Mungu wangu, yu pamoja nawe; yeye hatakupungukia wala kukuacha, hata itakapomalizika kazi yote ya huo utumishi wa nyumba ya BWANA.


Basi Sulemani, mwana wa Daudi, alijiimarisha katika ufalme wake, naye BWANA, Mungu wake, alikuwa pamoja naye, akamtukuza mno.


Basi BWANA amelitimiza neno lile alilolinena; nami nimesimama mahali pa Daudi baba yangu, na kuketi katika kiti cha enzi cha Israeli, kama BWANA alivyoahidi, nami nimeijenga nyumba kwa jina la BWANA, Mungu wa Israeli.


BWANA, utatuamuria amani; maana ni wewe pia uliyetutendea kazi zetu zote.


Tazama, bikira atachukua mimba, Naye atazaa mwana; Nao watamwita jina lake Imanueli; Yaani, Mungu pamoja nasi.


na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.


Mungu wa amani na awe pamoja nanyi nyote. Amina.


Bwana na awe pamoja na roho yako. Neema na iwe pamoja nanyi.


Daudi akasema, BWANA aliyeniokoa na makucha ya simba, na makucha ya dubu, ataniokoa na mkono wa Mfilisti huyu. Sauli akamwambia Daudi, Nenda, na BWANA atakuwa pamoja nawe.


BWANA anitende mimi, Yonathani, hivyo, na kuzidi, ikiwa yampendeza babangu kukutenda mabaya, nisipokufunulia haya, na kukutuma uende zako kwa amani; na BWANA awe pamoja nawe, kama alivyokuwa pamoja na baba yangu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo