1 Mambo ya Nyakati 21:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC7 Neno hilo likawa baya machoni pa Mungu; kwa hiyo akawapiga Israeli. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Mungu hakupendezwa na jambo hilo kwa hiyo akaiadhibu Israeli. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Mungu hakupendezwa na jambo hilo kwa hiyo akaiadhibu Israeli. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Mungu hakupendezwa na jambo hilo kwa hiyo akaiadhibu Israeli. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Amri hii ilikuwa mbaya machoni pa Mungu pia; hivyo akaiadhibu Israeli. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Amri hii ilikuwa mbaya machoni pa Mungu pia; hivyo akaiadhibu Israeli. Tazama sura |