Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 21:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 Lakini Lawi na Benyamini hakuwahesabu miongoni mwao; kwa sababu neno la mfalme limemchukiza Yoabu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Lakini Yoabu hakuwahesabu Walawi na Wabenyamini, kwa sababu alichukizwa sana na amri ya mfalme.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Lakini Yoabu hakuwahesabu Walawi na Wabenyamini, kwa sababu alichukizwa sana na amri ya mfalme.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Lakini Yoabu hakuwahesabu Walawi na Wabenyamini, kwa sababu alichukizwa sana na amri ya mfalme.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Lakini Yoabu hakuwahesabu Walawi na Wabenyamini, kwa sababu alichukizwa sana na amri ya mfalme.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Lakini Yoabu hakuwahesabu Walawi na Wabenyamini, kwa sababu alichukizwa sana na amri ya mfalme.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 21:6
6 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Abneri alipokuwa amerudi Hebroni, Yoabu akamchukua kando hadi katikati ya lango, ili aseme naye kwa faragha; akampiga mkuki wa tumbo huko, hadi akafa; kwa ajili ya damu ya Asaheli, ndugu yake.


Neno hilo likawa baya machoni pa Mungu; kwa hiyo akawapiga Israeli.


Yoabu, mwana wa Seruya, alianza kuwahesabu, lakini hakumaliza; na ghadhabu ikawapata Israeli kwa hayo; wala hesabu hiyo haikuingizwa katika kumbukumbu za mfalme Daudi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo