1 Mambo ya Nyakati 21:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC19 Basi Daudi akakwea kulingana na neno la Gadi, alilolinena kwa jina la BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Daudi akatii amri ya Mwenyezi-Mungu, akapanda juu kufuatana na neno la Gadi alilosema kwa jina la Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Daudi akatii amri ya Mwenyezi-Mungu, akapanda juu kufuatana na neno la Gadi alilosema kwa jina la Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Daudi akatii amri ya Mwenyezi-Mungu, akapanda juu kufuatana na neno la Gadi alilosema kwa jina la Mwenyezi-Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Kwa hiyo Daudi akakwea, akalitii lile neno ambalo Gadi alikuwa amelisema katika jina la Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Kwa hiyo Daudi akakwea, akalitii lile neno ambalo Gadi alikuwa amelisema katika jina la bwana. Tazama sura |