1 Mambo ya Nyakati 21:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 Ndipo huyo malaika wa BWANA akamwamuru Gadi kwamba amwambie Daudi, ya kuwa Daudi akwee, akamwinulie BWANA madhabahu katika kiwanja cha kupuria cha Arauna, Myebusi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Ndipo malaika wa Mwenyezi-Mungu akamwamuru Gadi amwambie Daudi aende amjengee Mwenyezi-Mungu madhabahu, katika kiwanja cha kupuria nafaka cha Ornani Myebusi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Ndipo malaika wa Mwenyezi-Mungu akamwamuru Gadi amwambie Daudi aende amjengee Mwenyezi-Mungu madhabahu, katika kiwanja cha kupuria nafaka cha Ornani Myebusi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Ndipo malaika wa Mwenyezi-Mungu akamwamuru Gadi amwambie Daudi aende amjengee Mwenyezi-Mungu madhabahu, katika kiwanja cha kupuria nafaka cha Ornani Myebusi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Kisha malaika wa Mwenyezi Mungu akamwamuru Gadi amwambie Daudi apande na kumjengea Mwenyezi Mungu madhabahu kwenye sakafu ya kupuria nafaka ya Arauna Myebusi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Kisha malaika wa bwana akamwamuru Gadi amwambie Daudi apande na kumjengea bwana madhabahu kwenye sakafu ya kupuria nafaka ya Arauna Myebusi. Tazama sura |