Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 21:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

1 Tena shetani akasimama juu ya Israeli, akamshawishi Daudi kuwahesabu Waisraeli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Shetani akajitokeza kuwataabisha Waisraeli, akamshawishi Daudii awahesabu watu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Shetani akajitokeza kuwataabisha Waisraeli, akamshawishi Daudii awahesabu watu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Shetani akajitokeza kuwataabisha Waisraeli, akamshawishi Daudii awahesabu watu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Shetani akainuka dhidi ya Israeli na kumshawishi Daudi ahesabu Waisraeli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Shetani akainuka dhidi ya Israeli na kumshawishi Daudi ahesabu watu wa Israeli.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 21:1
18 Marejeleo ya Msalaba  

Hao walizaliwa kwake huyo Mrefai wa Gathi, nao wakaanguka kwa mkono wa Daudi, na kwa mkono wa watumishi wake.


Yoabu, mwana wa Seruya, alianza kuwahesabu, lakini hakumaliza; na ghadhabu ikawapata Israeli kwa hayo; wala hesabu hiyo haikuingizwa katika kumbukumbu za mfalme Daudi.


Hao wote ndio wana wa Asheri, wakuu wa koo za baba zao, watu wateule, hodari wa vita, viongozi wa wakuu. Na hesabu yao waliojumlishwa kwa vizazi vyao kwenda vitani walikuwa watu elfu ishirini na sita.


Tena ilitukia siku moja hao wana wa Mungu walipokwenda kujiweka mbele za BWANA, Shetani naye akaenda kati yao, ili kujiweka mbele za BWANA.


Utakapowahesabu wana wa Israeli, kama itakavyotokea hesabu yao, ndipo watakapompa BWANA kila mtu ukombozi kwa ajili ya roho yake, hapo utakapowahesabu; ili kwamba yasiwe maradhi kati yao, hapo utakapowahesabu.


Kisha akanionesha Yoshua, kuhani mkuu, amesimama mbele ya malaika wa BWANA, na Shetani amesimama mkono wake wa kulia ili kushindana naye.


Mjaribu akamjia akamwambia, Ikiwa ndiwe Mwana wa Mungu, amuru mawe haya yawe mikate.


Alipotoka humo, Waandishi na Mafarisayo walianza kumsonga vibaya, na kumchokoza kwa maswali mengi,


Akasema, Simoni, Simoni, tazama, Shetani amewataka ninyi apate kuwapepeta kama vile ngano;


Hata wakati wa chakula cha jioni; naye Ibilisi amekwisha kumtia Yuda, mwana wa Simoni Iskarioti, moyo wa kumsaliti;


Petro akasema, Anania, kwa nini Shetani amekujaza moyo wako kumwambia uongo Roho Mtakatifu, na kuhifadhi kwa siri sehemu ya thamani ya kiwanja?


tukaangaliane sisi kwa sisi na kuhimizana katika upendo na kazi nzuri;


Mtu ajaribiwapo, asiseme, Ninajaribiwa na Mungu; maana Mungu hawezi kujaribiwa na maovu, wala yeye mwenyewe hamjaribu mtu.


Nikasikia sauti kuu mbinguni, ikisema, Sasa kumekuwa wokovu, na nguvu, na ufalme wa Mungu wetu, na mamlaka ya Kristo wake; kwa maana ametupwa chini mshitaki wa ndugu zetu, yeye awashitakiye mbele za Mungu wetu, mchana na usiku.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo