1 Mambo ya Nyakati 20:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 Hao walizaliwa kwake huyo Mrefai wa Gathi, nao wakaanguka kwa mkono wa Daudi, na kwa mkono wa watumishi wake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Hao walikuwa wazawa wa majitu huko Gathi; nao waliuawa na Daudi pamoja na watumishi wake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Hao walikuwa wazawa wa majitu huko Gathi; nao waliuawa na Daudi pamoja na watumishi wake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Hao walikuwa wazawa wa majitu huko Gathi; nao waliuawa na Daudi pamoja na watumishi wake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Hao walikuwa wazao wa Warefai huko Gathi, nao walianguka kwa mikono ya Daudi na watu wake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Hawa walikuwa ndio wazao wa Warefai huko Gathi, nao walianguka kwa mikono ya Daudi na watu wake. Tazama sura |