1 Mambo ya Nyakati 20:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC7 Naye huyo alipowatukana Israeli, Yonathani, mwana wa Shama, nduguye Daudi, akamwua. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Naye alipowatukana Waisraeli, Yonathani, mwana wa Shimea, nduguye Daudi, alimuua. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Naye alipowatukana Waisraeli, Yonathani, mwana wa Shimea, nduguye Daudi, alimuua. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Naye alipowatukana Waisraeli, Yonathani, mwana wa Shimea, nduguye Daudi, alimuua. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Alipowadhihaki Israeli, Yonathani, mwana wa Shimea, nduguye Daudi, akamuua. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Alipowadhihaki Israeli, Yonathani, mwana wa Shimea, nduguye Daudi, akamuua. Tazama sura |