Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 2:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

9 Tena wana wa Hesroni aliozaliwa; Yerameeli, na Ramu, na Kalebu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Wana wa Hesroni walikuwa Yerameeli, Ramu na Kelubai.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Wana wa Hesroni walikuwa Yerameeli, Ramu na Kelubai.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Wana wa Hesroni walikuwa Yerameeli, Ramu na Kelubai.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Wana wa Hesroni walikuwa: Yerameeli, Ramu na Kalebu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Wana wa Hesroni walikuwa: Yerameeli, Ramu na Kalebu.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 2:9
10 Marejeleo ya Msalaba  

Na Ramu akamzaa Aminadabu; na Aminadabu akamzaa Nashoni, mkuu wa wana wa Yuda;


Tena, baada ya kufa kwake Hesroni huko Kalebu-Efrata, ndipo Abia, mkewe Hesroni, alipomzalia Ashuri, babaye Teboa.


Na wana wa Yerameeli, mzaliwa wa kwanza wa Hesroni, walikuwa Ramu, mzaliwa wa kwanza, na Buna, na Oreni, na Ozemu; kwa Ahiya.


Na wana wa Kalebu, nduguye Yerameeli, walikuwa Mesha, mzaliwa wake wa kwanza, aliyekuwa babaye Zifu; na wana wa Maresha, babaye Hebroni.


Na wana wa Ethani; Azaria.


Yuda akamzaa Peresi na Zera kwa Tamari; Peresi akamzaa Esromu; Esromu akamzaa Aramu;


Akafika katika nchi yote iliyo karibu na Yordani, akihubiri ubatizo wa toba iletayo ondoleo la dhambi,


na Hesroni akamzaa Ramu; na Ramu akamzaa Aminadabu;


Naye Akishi alipomwuliza, Je! Mmeshambulia upande gani leo? Na Daudi akasema, Juu ya Negebu ya Yuda, au, juu ya Negebu ya Wayerameeli, au, juu ya Negebu ya Wakeni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo