1 Mambo ya Nyakati 2:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 Na wana wa Zera; Zabdi, na Ethani, na Hemani, na Kalkoli, na Darda; hao wote ni watano. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Zera nduguye alikuwa na wana watano: Zimri, Etheni, Hemani, Kalkoli na Dara. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Zera nduguye alikuwa na wana watano: Zimri, Etheni, Hemani, Kalkoli na Dara. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Zera nduguye alikuwa na wana watano: Zimri, Etheni, Hemani, Kalkoli na Dara. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Wana wa Zera walikuwa: Zimri, Ethani, Hemani, Kalkoli na Darda. Jumla ya wana wa Zera walikuwa watano. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Wana wa Zera walikuwa: Zimri, Ethani, Hemani, Kalkoli na Dara. Jumla ya wana wa Zera walikuwa watano. Tazama sura |