Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 2:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 Na wana wa Zera; Zabdi, na Ethani, na Hemani, na Kalkoli, na Darda; hao wote ni watano.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Zera nduguye alikuwa na wana watano: Zimri, Etheni, Hemani, Kalkoli na Dara.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Zera nduguye alikuwa na wana watano: Zimri, Etheni, Hemani, Kalkoli na Dara.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Zera nduguye alikuwa na wana watano: Zimri, Etheni, Hemani, Kalkoli na Dara.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Wana wa Zera walikuwa: Zimri, Ethani, Hemani, Kalkoli na Darda. Jumla ya wana wa Zera walikuwa watano.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Wana wa Zera walikuwa: Zimri, Ethani, Hemani, Kalkoli na Dara. Jumla ya wana wa Zera walikuwa watano.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 2:6
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa alikuwa na hekima kuliko watu wote; kuliko Ethani Mwezrahi, na Hemani, na Kalkoli, na Darda, wana wa Maholi; zikaenea sifa zake kati ya mataifa yote yaliyozunguka.


Sulemani akampa Hiramu kori elfu ishirini za ngano, chakula cha watu wake, na kori ishirini za mafuta safi. Ndizo Sulemani alizompa Hiramu mwaka kwa mwaka.


Wana wa Peresi; Hesroni, na Hamuli.


Na wana wa Karmi; Akani, yule aliyewataabisha Israeli, kwa kuchukua kilichowekwa wakfu.


Ee BWANA, Mungu wa wokovu wangu Mchana na usiku nimelia mbele zako.


Lakini Waisraeli walifanya dhambi katika kitu kilichowekwa wakfu; maana Akani, mwana wa Karmi, mwana wa Zabdi, mwana wa Zera, wa kabila la Yuda, alitwaa baadhi ya vitu vilivyowekwa wakfu; hasira ya BWANA ikawaka juu ya Waisraeli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo