Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 2:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

5 Wana wa Peresi; Hesroni, na Hamuli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Peresi alikuwa na wana wawili: Hesroni na Hamuli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Peresi alikuwa na wana wawili: Hesroni na Hamuli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Peresi alikuwa na wana wawili: Hesroni na Hamuli.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Wana wa Peresi walikuwa: Hesroni na Hamuli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Wana wa Peresi walikuwa: Hesroni na Hamuli.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 2:5
8 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Yuda; Eri, na Onani, na Shela, na Peresi, na Zera; lakini Eri na Onani walikufa katika nchi ya Kanaani. Na wana wa Peresi, ni Hesroni, na Hamuli.


Na Tamari, mkwewe, akamzalia Peresi, na Zera. Wana wote wa Yuda ni watano.


Na wana wa Zera; Zabdi, na Ethani, na Hemani, na Kalkoli, na Darda; hao wote ni watano.


Wana wa Yuda; Peresi, na Hesroni, na Karmi, na Huri, na Shobali.


Na wana wa Peresi walikuwa; wa Hesroni, jamaa ya Wahesroni; wa Hamuli, jamaa ya Wahamuli.


Yuda akamzaa Peresi na Zera kwa Tamari; Peresi akamzaa Esromu; Esromu akamzaa Aramu;


wa Aminadabu, wa Admini, wa Hesroni, wa Peresi, wa Yuda,


Hivi ndivyo vizazi vya Peresi; Peresi alimzaa Hesroni;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo