1 Mambo ya Nyakati 2:46 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC46 Naye Efa, suria yake Kalebu, alimzaa Harani, na Mosa, na Gazezi; naye Harani akamzaa Gazezi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema46 Kalebu alikuwa na suria, jina lake Efa. Huyu alimzalia wana wengine watatu: Harani, Mosa na Gazezi. Harani alimzaa Gazezi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND46 Kalebu alikuwa na suria, jina lake Efa. Huyu alimzalia wana wengine watatu: Harani, Mosa na Gazezi. Harani alimzaa Gazezi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza46 Kalebu alikuwa na suria, jina lake Efa. Huyu alimzalia wana wengine watatu: Harani, Mosa na Gazezi. Harani alimzaa Gazezi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu46 Efa, suria wa Kalebu aliwazaa: Harani, Mosa na Gazezi. Harani alikuwa baba wa Gazezi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu46 Efa, suria wa Kalebu alikuwa mamaye Harani, Mosa na Gazezi. Harani alikuwa baba wa Gazezi. Tazama sura |