Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 2:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

4 Na Tamari, mkwewe, akamzalia Peresi, na Zera. Wana wote wa Yuda ni watano.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Na Tamari, mkwewe, alimzalia wana wawili: Peresi na Zera. Jumla, wana wa Yuda walikuwa watano.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Na Tamari, mkwewe, alimzalia wana wawili: Peresi na Zera. Jumla, wana wa Yuda walikuwa watano.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Na Tamari, mkwewe, alimzalia wana wawili: Peresi na Zera. Jumla, wana wa Yuda walikuwa watano.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Tamari, mkwewe Yuda, alimzalia wana wawili: Peresi na Zera. Yuda alikuwa na jumla ya wana watano.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Tamari, mkwewe Yuda, alimzalia wana wawili: Peresi na Zera. Yuda alikuwa na jumla ya wana watano.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 2:4
14 Marejeleo ya Msalaba  

Yuda akamwambia Tamari mkwewe, Ukae mjane nyumbani mwa baba yako hata Shela mwanangu atakapokuwa mtu mzima, maana alisema, Asipate kufa yeye kama nduguze. Basi Tamari akaenda, akakaa nyumbani mwa babaye.


Wana wa Peresi; Hesroni, na Hamuli.


Wana wa Yuda; Peresi, na Hesroni, na Karmi, na Huri, na Shobali.


Uthai, mwana wa Amihudi, mwana wa Omri, mwana wa Imli, mwana wa Bani, wa wana wa Peresi, mwana wa Yuda.


Na wa wana wa Zera; Yeueli, na ndugu zao; watu mia sita na tisini.


Na Pethahia, mwana wa Meshezabeli, wa wana wa Zera, mwana wa Yuda, alikuwa wakili wa mfalme kwa habari ya mambo yote ya watu.


Tena wakakaa Yerusalemu wengine wa wana wa Yuda, na wengine wa wana wa Benyamini. Wa wana wa Yuda; Athaya, mwana wa Uzia, mwana wa Zekaria, mwana wa Amaria, mwana wa Shefatia, mwana wa Mahalaleli, wa wana wa Peresi;


wa Sohari, jamaa ya Wasohari; wa Shauli, jamaa ya Washauli.


Yuda akamzaa Peresi na Zera kwa Tamari; Peresi akamzaa Esromu; Esromu akamzaa Aramu;


wa Aminadabu, wa Admini, wa Hesroni, wa Peresi, wa Yuda,


Nyumba yako na ifanane na nyumba yake Peresi, ambaye Tamari alimzalia Yuda, kwa wazao atakaokupa BWANA katika mwanamke huyu.


Hivi ndivyo vizazi vya Peresi; Peresi alimzaa Hesroni;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo