1 Mambo ya Nyakati 2:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC4 Na Tamari, mkwewe, akamzalia Peresi, na Zera. Wana wote wa Yuda ni watano. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Na Tamari, mkwewe, alimzalia wana wawili: Peresi na Zera. Jumla, wana wa Yuda walikuwa watano. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Na Tamari, mkwewe, alimzalia wana wawili: Peresi na Zera. Jumla, wana wa Yuda walikuwa watano. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Na Tamari, mkwewe, alimzalia wana wawili: Peresi na Zera. Jumla, wana wa Yuda walikuwa watano. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Tamari, mkwewe Yuda, alimzalia wana wawili: Peresi na Zera. Yuda alikuwa na jumla ya wana watano. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Tamari, mkwewe Yuda, alimzalia wana wawili: Peresi na Zera. Yuda alikuwa na jumla ya wana watano. Tazama sura |