Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 2:35 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

35 Basi akamwoza binti yake aolewe na Yarha, mtumwa wake; naye akamzalia Atai.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

35 Hivyo, Sheshani akamwoza Yarha mtumwa wake, mmoja wa binti zake, naye akamzalia mwana jina lake Atai.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

35 Hivyo, Sheshani akamwoza Yarha mtumwa wake, mmoja wa binti zake, naye akamzalia mwana jina lake Atai.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

35 Hivyo, Sheshani akamwoza Yarha mtumwa wake, mmoja wa binti zake, naye akamzalia mwana jina lake Atai.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

35 Sheshani akamwoza huyu mtumishi wake Yarha binti yake, akamzalia mwana jina lake Atai.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

35 Sheshani akamwoza huyu mtumishi wake Yarha binti yake, akamzalia mwana jina lake Atai.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 2:35
2 Marejeleo ya Msalaba  

Basi huyo Sheshani alikuwa hana wana wa kiume, ila binti. Naye Sheshani alikuwa na mtumwa, Mmisri, jina lake akiitwa Yarha.


Na Atai akamzaa Nathani; na Nathani akamzaa Zabadi;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo