Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 2:34 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

34 Basi huyo Sheshani alikuwa hana wana wa kiume, ila binti. Naye Sheshani alikuwa na mtumwa, Mmisri, jina lake akiitwa Yarha.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 Sheshani hakuwa na watoto wa kiume; alikuwa na binti tu. Hata hivyo, alikuwa na mtumwa wa Kimisri, jina lake Yarha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 Sheshani hakuwa na watoto wa kiume; alikuwa na binti tu. Hata hivyo, alikuwa na mtumwa wa Kimisri, jina lake Yarha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 Sheshani hakuwa na watoto wa kiume; alikuwa na binti tu. Hata hivyo, alikuwa na mtumwa wa Kimisri, jina lake Yarha.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 Sheshani hakuwa na watoto wa kiume, ila watoto wa kike tu. Alikuwa na mtumishi Mmisri aliyeitwa Yarha.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 Sheshani hakuwa na watoto wa kiume, ila wasichana tu. Alikuwa na mtumishi Mmisri aliyeitwa Yarha.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 2:34
3 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Apaimu; Ishi. Na wana wa Ishi; Sheshani. Na wana wa Sheshani; Alai.


Na wana wa Yonathani; Pelethi, na Zaza. Hao ndio wana wa Yerameeli.


Basi akamwoza binti yake aolewe na Yarha, mtumwa wake; naye akamzalia Atai.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo