Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 2:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

32 Na wana wa Yada, nduguye Shamai; Yetheri, na Yonathani; naye Yetheri alipokufa hakuwa na watoto.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Yada, nduguye Shamai, alikuwa na wana wawili: Yetheri na Yonathani. Lakini Yetheri alifariki bila watoto.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Yada, nduguye Shamai, alikuwa na wana wawili: Yetheri na Yonathani. Lakini Yetheri alifariki bila watoto.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Yada, nduguye Shamai, alikuwa na wana wawili: Yetheri na Yonathani. Lakini Yetheri alifariki bila watoto.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Wana wa Yada, nduguye Shamai walikuwa: Yetheri na Yonathani. Yetheri alikufa bila kuzaa watoto.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Wana wa Yada, nduguye Shamai walikuwa: Yetheri na Yonathani. Yetheri alikufa bila kuzaa watoto.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 2:32
3 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Onamu walikuwa Shamai, na Yada; na wana wa Shamai; Nadabu, na Abishuri.


Na wana wa Apaimu; Ishi. Na wana wa Ishi; Sheshani. Na wana wa Sheshani; Alai.


Na wana wa Yonathani; Pelethi, na Zaza. Hao ndio wana wa Yerameeli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo