Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 2:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

29 Na mkewe Abishuri aliitwa jina lake Abihaili; naye akamzalia Abani, na Molidi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Abishuri alioa mke, jina lake Abihaili, naye akamzalia wana wawili: Abani na Molidi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Abishuri alioa mke, jina lake Abihaili, naye akamzalia wana wawili: Abani na Molidi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Abishuri alioa mke, jina lake Abihaili, naye akamzalia wana wawili: Abani na Molidi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 Mke wa Abishuri aliitwa Abihaili, aliyemzalia Abani na Molidi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 Mke wa Abishuri aliitwa Abihaili, ambaye alimzalia Abani na Molidi.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 2:29
2 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Onamu walikuwa Shamai, na Yada; na wana wa Shamai; Nadabu, na Abishuri.


Na wana wa Nadabu; Seledi, na Apaimu; lakini Seledi alipokufa hakuwa na watoto.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo