Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 2:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

26 Naye Yerameeli alikuwa na mke mwingine, jina lake Atara; yeye alikuwa mamaye Onamu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Yerameeli alikuwa na mke mwingine jina lake Atara. Huyu alimzalia Yerameeli mwana, jina lake Onamu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Yerameeli alikuwa na mke mwingine jina lake Atara. Huyu alimzalia Yerameeli mwana, jina lake Onamu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Yerameeli alikuwa na mke mwingine jina lake Atara. Huyu alimzalia Yerameeli mwana, jina lake Onamu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Yerameeli alikuwa na mke mwingine, aliyeitwa Atara, aliyekuwa mama yake Onamu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Yerameeli alikuwa na mke mwingine, aliyeitwa Atara, aliyekuwa mama yake Onamu.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 2:26
2 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Yerameeli, mzaliwa wa kwanza wa Hesroni, walikuwa Ramu, mzaliwa wa kwanza, na Buna, na Oreni, na Ozemu; kwa Ahiya.


Na wana wa Ramu, mzaliwa wa kwanza wa Yerameeli, walikuwa Maasi, na Yamini, na Ekeri.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo