Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 2:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Basi Kalebu, mwana wa Hesroni, akazaliwa wana na mkewe Azuba, na Yeriothi, na hawa ndio wanawe wa kiume; Yesheri, na Shobabu, na Ardoni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Kalebu, mwana wa Hesroni, kutokana na wake zake wawili, Azuba na Yeriothi, aliwazaa Yesheri, Shaobabu na Ardoni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Kalebu, mwana wa Hesroni, kutokana na wake zake wawili, Azuba na Yeriothi, aliwazaa Yesheri, Shaobabu na Ardoni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Kalebu, mwana wa Hesroni, kutokana na wake zake wawili, Azuba na Yeriothi, aliwazaa Yesheri, Shaobabu na Ardoni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Kalebu mwana wa Hesroni akazaa wana na mkewe Azuba (na pia na Yeriothi). Hawa ndio wana Azuba aliomzalia Kalebu: Yesheri, Shobabu na Ardoni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Kalebu mwana wa Hesroni akazaa wana na mkewe Azuba (na pia na Yeriothi). Hawa ndio wana Azuba aliomzalia Kalebu: Yesheri, Shobabu na Ardoni.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 2:18
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na Abigaili akamzaa Amasa; na babaye Amasa ni Yetheri, Mwishmaeli.


Akafa Azuba, naye Kalebu akamtwaa Efrata, aliyemzalia Huri.


Tena, baada ya kufa kwake Hesroni huko Kalebu-Efrata, ndipo Abia, mkewe Hesroni, alipomzalia Ashuri, babaye Teboa.


Na wana wa Kalebu, nduguye Yerameeli, walikuwa Mesha, mzaliwa wake wa kwanza, aliyekuwa babaye Zifu; na wana wa Maresha, babaye Hebroni.


Naye Efa, suria yake Kalebu, alimzaa Harani, na Mosa, na Gazezi; naye Harani akamzaa Gazezi.


Tena wana wa Hesroni aliozaliwa; Yerameeli, na Ramu, na Kalebu.


Wana wa Yuda; Peresi, na Hesroni, na Karmi, na Huri, na Shobali.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo