1 Mambo ya Nyakati 2:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 Na Abigaili akamzaa Amasa; na babaye Amasa ni Yetheri, Mwishmaeli. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Abigaili alimzaa Amasa ambaye baba yake alikuwa Yetheri, Mwishmaeli. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Abigaili alimzaa Amasa ambaye baba yake alikuwa Yetheri, Mwishmaeli. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Abigaili alimzaa Amasa ambaye baba yake alikuwa Yetheri, Mwishmaeli. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Abigaili alikuwa mama yake Amasa, ambaye baba yake alikuwa Yetheri Mwishmaeli. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Abigaili alikuwa mama yake Amasa, ambaye baba yake alikuwa Yetheri, Mwishmaeli. Tazama sura |
Na zaidi ya hayo, unajua alivyonitenda Yoabu, mwana wa Seruya, yaani, alivyowatenda majemadari wawili wa majeshi ya Israeli, Abneri, mwana wa Neri, na Amasa, mwana wa Yetheri, ambao aliwaua, na kumwaga damu wakati wa amani akilipiza kisasi cha vita, mshipi akautia damu ya vita uliokuwa viunoni mwake, na viatu vilivyokuwa miguuni mwake.