Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 2:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

17 Na Abigaili akamzaa Amasa; na babaye Amasa ni Yetheri, Mwishmaeli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Abigaili alimzaa Amasa ambaye baba yake alikuwa Yetheri, Mwishmaeli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Abigaili alimzaa Amasa ambaye baba yake alikuwa Yetheri, Mwishmaeli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Abigaili alimzaa Amasa ambaye baba yake alikuwa Yetheri, Mwishmaeli.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Abigaili alikuwa mama yake Amasa, ambaye baba yake alikuwa Yetheri Mwishmaeli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Abigaili alikuwa mama yake Amasa, ambaye baba yake alikuwa Yetheri, Mwishmaeli.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 2:17
8 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Absalomu akamweka Amasa awe juu ya jeshi mahali pa Yoabu. Basi huyo Amasa alikuwa mwana wa mtu, jina lake Yetheri, Mwishmaeli, aliyeingia kwa Abigali, binti Nahashi, nduguye Seruya, mamaye Yoabu.


Kisha mkamwambie Amasa, Je! Si wewe uliye mfupa wangu, na nyama yangu? Mungu anifanyie hivyo, na kuzidi, usipokuwa wewe jemadari wa jeshi mbele yangu daima mahali pa Yoabu.


Naye BWANA atamrudishia damu yake kichwani pake mwenyewe, kwa kuwa aliwapiga watu wawili wenye haki, na wema kuliko yeye, akawaua kwa upanga, wala babangu Daudi hakujua habari hiyo; yaani Abneri, mwana wa Neri, jemadari wa jeshi la Israeli, na Amasa, mwana wa Yetheri, jemadari wa jeshi la Yuda.


Na zaidi ya hayo, unajua alivyonitenda Yoabu, mwana wa Seruya, yaani, alivyowatenda majemadari wawili wa majeshi ya Israeli, Abneri, mwana wa Neri, na Amasa, mwana wa Yetheri, ambao aliwaua, na kumwaga damu wakati wa amani akilipiza kisasi cha vita, mshipi akautia damu ya vita uliokuwa viunoni mwake, na viatu vilivyokuwa miguuni mwake.


Ndipo roho ikamjia Abishai, mkuu wa wale thelathini, naye akasema, Sisi tu watu wako, Ee Daudi; Na wa upande wako, Ee mwana wa Yese; Amani, naam, amani iwe kwako, Na amani iwe kwao wakusaidiao; Maana Mungu wako ndiye akusaidiye. Ndipo Daudi akawakaribisha, akawaweka wawe makamanda wa kile kikosi.


na dada zao ni Seruya, na Abigaili. Na wana wa Seruya walikuwa, Abishai, na Yoabu, na Asaheli; hao watatu.


Basi Kalebu, mwana wa Hesroni, akazaliwa wana na mkewe Azuba, na Yeriothi, na hawa ndio wanawe wa kiume; Yesheri, na Shobabu, na Ardoni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo