Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 2:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 na Boazi akamzaa Obedi; na Obedi akamzaa Yese;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Boazi akamzaa Obedi, Obedi akamzaa Yese.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Boazi akamzaa Obedi, Obedi akamzaa Yese.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Boazi akamzaa Obedi, Obedi akamzaa Yese.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Boazi akamzaa Obedi, Obedi akamzaa Yese.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Boazi akamzaa Obedi, Obedi akamzaa Yese.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 2:12
11 Marejeleo ya Msalaba  

asiulize kwa BWANA; kwa hiyo akamwua, na ufalme akampa Daudi, mwana wa Yese.


na Nashoni akamzaa Salmoni; na Salmoni akamzaa Boazi;


na Yese akamzaa Eliabu, mzaliwa wake wa kwanza, na wa pili Abinadabu, na wa tatu Shama;


Basi litatoka chipukizi katika shina la Yese, na tawi litakalotoka katika mizizi yake litazaa matunda.


Na itakuwa katika siku hiyo, shina la Yese lisimamalo kuwa ishara kwa makabila ya watu, yeye ndiye ambaye mataifa watamtafuta; na mahali pake pa kupumzikia patakuwa na utukufu.


Salmoni akamzaa Boazi kwa Rahabu; Boazi akamzaa Obedi kwa Ruthu; Obedi akamzaa Yese;


wa Yese, wa Obedi, wa Boazi, wa Salmoni, wa Nashoni,


Na alipokwisha kumwondoa huyo, akamwinua Daudi awe mfalme wao ambaye alimshuhudia, akisema, Nimemwona Daudi, mwana wa Yese, mtu anayeupendeza moyo wangu, atakayefanya mapenzi yangu yote.


Na tena Isaya anena, Litakuwako shina la Yese, Naye aondokeaye kuwatawala Mataifa; Ndiye Mataifa watakayemtumaini.


na Obedi akamzaa Yese; na Yese akamzaa Daudi.


BWANA akamwambia Samweli, utamlilia Sauli hadi lini, kwa kuwa mimi nimemkataa asiwatawale Waisraeli? Ijaze pembe yako mafuta, uende, nami nitakutuma kwa Yese, Mbethlehemi; maana nimejipatia mfalme katika wanawe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo