Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 2:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

10 Na Ramu akamzaa Aminadabu; na Aminadabu akamzaa Nashoni, mkuu wa wana wa Yuda;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Ramu alimzaa Aminadabu, Aminadabu akamzaa Nashoni, mkuu wa kabila la Yuda.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Ramu alimzaa Aminadabu, Aminadabu akamzaa Nashoni, mkuu wa kabila la Yuda.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Ramu alimzaa Aminadabu, Aminadabu akamzaa Nashoni, mkuu wa kabila la Yuda.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Ramu alimzaa Aminadabu, naye Aminadabu akamzaa Nashoni, kiongozi wa kabila la Yuda.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Ramu alimzaa Aminadabu, na Aminadabu akamzaa Nashoni, kiongozi wa kabila la Yuda.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 2:10
11 Marejeleo ya Msalaba  

na Nashoni akamzaa Salmoni; na Salmoni akamzaa Boazi;


Tena wana wa Hesroni aliozaliwa; Yerameeli, na Ramu, na Kalebu.


Haruni akamwoa Elisheba, binti ya Aminadabu, dada yake Nashoni; naye akamzalia Nadabu, na Abihu, na Eleazari, na Ithamari.


Wa Yuda; Nashoni mwana wa Aminadabu.


Mahali pa mbele ilisafiri beramu ya kambi ya wana wa Yuda, kwa majeshi yao; na Nashoni mwana wa Aminadabu ndiye aliyekuwa juu ya jeshi lake.


Na hao watakaopanga upande wa mashariki, kwa kuelekea maawio ya jua, ndio wale wa bendera ya kambi ya Yuda, kwa majeshi yao; na mkuu wa wana wa Yuda atakuwa Nashoni mwana wa Aminadabu.


Basi aliyetoa matoleo yake siku ya kwanza ni Nashoni mwana wa Aminadabu, wa kabila la Yuda;


na kwa ajili ya dhabihu ya sadaka za amani, ng'ombe dume wawili, na kondoo dume watano, na mbuzi dume watano, na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja hayo ndiyo matoleo ya Nashoni mwana wa Aminadabu.


Aramu akamzaa Aminadabu; Aminadabu akamzaa Nashoni; Nashoni akamzaa Salmoni;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo