Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 2:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

1 Hawa ndio wana wa Israeli; Reubeni, na Simeoni, na Lawi, na Yuda, na Isakari, na Zabuloni;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Israeli alikuwa na wana wa kiume kumi na wawili: Reubeni, Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari, Zebuluni,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Israeli alikuwa na wana wa kiume kumi na wawili: Reubeni, Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari, Zebuluni,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Israeli alikuwa na wana wa kiume kumi na wawili: Reubeni, Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari, Zebuluni,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Hawa walikuwa wana wa Israeli: Reubeni, Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari, Zabuloni,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Hawa ndio waliokuwa wana wa Israeli: Reubeni, Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari, Zabuloni,

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 2:1
17 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwambia, Jina lako hutaitwa tena Yakobo, ila Israeli, maana umeshindana na Mungu, na watu, nawe umeshinda.


Ikawa hapo katika kutoa roho yake, maana alikufa, akamwita jina lake Benoni, lakini babaye alimwita Benyamini.


Kusanyikeni, msikie, enyi wana wa Yakobo, Msikilizeni Israeli, baba yenu.


na jumbe Magdieli, na jumbe Iramu. Hao ndio majumbe wa Edomu.


na Dani, na Yusufu, na Benyamini, na Naftali, na Gadi, na Asheri.


Na wana wa Reubeni, mzaliwa wa kwanza wa Israeli; (kwa maana ndiye aliyekuwa mzaliwa wa kwanza, lakini, kwa kuwa alikinajisi kitanda cha babaye, haki yake ya mzaliwa wa kwanza walipewa wana wa Yusufu, mwana wa Israeli; tena nasaba isihesabiwe kwa kuifuata hiyo haki ya mzaliwa wa kwanza.


Yuda akamzaa Peresi na Zera kwa Tamari; Peresi akamzaa Esromu; Esromu akamzaa Aramu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo