Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 19:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 Basi Daudi aliposikia habari akamtuma Yoabu, na jeshi lote la mashujaa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Naye Daudi aliposikia habari hizo alimtuma Yoabu na jeshi lote la mashujaa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Naye Daudi aliposikia habari hizo alimtuma Yoabu na jeshi lote la mashujaa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Naye Daudi aliposikia habari hizo alimtuma Yoabu na jeshi lote la mashujaa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Daudi aliposikia jambo hili, akamtuma Yoabu na jeshi lote la wapiganaji.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Daudi aliposikia jambo hili, akamtuma Yoabu na jeshi lote la wapiganaji.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 19:8
5 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Daudi akasema, Mtu yeyote atakayekuwa wa kwanza wa kuwapiga Wayebusi, yeye atakuwa mkuu na jemadari. Naye wa kwanza aliyepanda ni Yoabu mwana wa Seruya, naye akawa mkuu.


Basi wakakodi magari elfu thelathini na mbili, na mfalme wa Maaka na watu wake; nao walikuja wakatua mbele ya Medeba. Na wana wa Amoni wakakusanyika kutoka miji yao, wakaja vitani.


Wakatoka wana wa Amoni, wakajipanga kwa vita langoni pa mji; na hao wafalme waliokuja walikuwa peke yao uwanjani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo