1 Mambo ya Nyakati 19:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC16 Na Washami walipojiona kuwa wameshindwa mbele ya Israeli, wakatuma wajumbe, wakawaleta Washami walioko ng'ambo ya Mto, na Shobaki, jemadari wa jeshi la Hadadezeri, akawaongoza. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Lakini Waaramu walipoona ya kwamba wameshindwa na Waisraeli, walituma wajumbe waende kuwaleta Waaramu wengine waliokuwa ngambo ya mto Eufrate wakiongozwa na Shofaki, kamanda wa jeshi la Hadadezeri. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Lakini Waaramu walipoona ya kwamba wameshindwa na Waisraeli, walituma wajumbe waende kuwaleta Waaramu wengine waliokuwa ngambo ya mto Eufrate wakiongozwa na Shofaki, kamanda wa jeshi la Hadadezeri. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Lakini Waaramu walipoona ya kwamba wameshindwa na Waisraeli, walituma wajumbe waende kuwaleta Waaramu wengine waliokuwa ng'ambo ya mto Eufrate wakiongozwa na Shofaki, kamanda wa jeshi la Hadadezeri. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Baada ya Waaramu kuona kwamba wameshindwa na Israeli, wakapeleka wajumbe na kuwataka Waaramu wengine kutoka ng’ambo ya Mto, wakiongozwa na Shofaki, jemadari wa jeshi la Hadadezeri. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Baada ya Waaramu kuona kwamba wameshindwa na Israeli, wakapeleka wajumbe na kuwataka Waaramu wengine kutoka ng’ambo ya Mto Frati, wakiongozwa na Shofaki, jemadari wa jeshi la Hadadezeri. Tazama sura |