1 Mambo ya Nyakati 18:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC4 Daudi akampokonya magari elfu moja, na wapanda farasi elfu saba, na askari waendao kwa miguu elfu ishirini; Daudi akawakata mshipa farasi wote wa magari, ila wa magari mia moja akawaweka. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Daudi akateka magari ya farasi 1,000, askari wapandafarasi 7,000 na wa miguu 20,000. Kisha Daudi alikata mishipa ya miguu ya nyuma ya farasi wote wa magari, ila aliwabakiza 100. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Daudi akateka magari ya farasi 1,000, askari wapandafarasi 7,000 na wa miguu 20,000. Kisha Daudi alikata mishipa ya miguu ya nyuma ya farasi wote wa magari, ila aliwabakiza 100. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Daudi akateka magari ya farasi 1,000, askari wapandafarasi 7,000 na wa miguu 20,000. Kisha Daudi alikata mishipa ya miguu ya nyuma ya farasi wote wa magari, ila aliwabakiza 100. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Daudi akateka magari ya vita elfu moja miongoni mwa magari yake, waendesha hayo magari ya vita elfu saba, na askari wa miguu elfu ishirini. Daudi akakata mishipa ya miguu ya farasi wa magari ya vita, akabakiza farasi mia moja. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Daudi akateka magari ya vita 1,000 miongoni mwa magari yake, waendesha hayo magari ya kukokotwa na farasi 7,000 na askari wa miguu 20,000. Daudi akakata mishipa ya miguu ya nyuma ya farasi wote wakokotao magari, ila akabakiza 100. Tazama sura |