1 Mambo ya Nyakati 18:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC2 Akapiga Moabu; na hao Wamoabi wakawa watumishi wa Daudi wakaleta zawadi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Aliwashinda Wamoabu pia, wakawa watumishi wake na wakawa wanalipa kodi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Aliwashinda Wamoabu pia, wakawa watumishi wake na wakawa wanalipa kodi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Aliwashinda Wamoabu pia, wakawa watumishi wake na wakawa wanalipa kodi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Pia Daudi akawashinda Wamoabu, wakawa watumishi wake, nao wakawa wanamletea ushuru. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Pia Daudi akawashinda Wamoabu, wakawa watumishi wake, nao wakawa wanamletea ushuru. Tazama sura |