1 Mambo ya Nyakati 18:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC15 Na Yoabu mwana wa Seruya akawa mkuu wa jeshi; na Yehoshafati mwana wa Ahiludi mwenye kuandika tarehe. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Yoabu, mwana wa Seruya alikuwa mkuu wa majeshi; Yehoshafati mwana wa Ahiludi alikuwa mtunza kumbukumbu; Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Yoabu, mwana wa Seruya alikuwa mkuu wa majeshi; Yehoshafati mwana wa Ahiludi alikuwa mtunza kumbukumbu; Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Yoabu, mwana wa Seruya alikuwa mkuu wa majeshi; Yehoshafati mwana wa Ahiludi alikuwa mtunza kumbukumbu; Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Yoabu mwana wa Seruya alikuwa jemadari wa jeshi; Yehoshafati mwana wa Ahiludi aliweka kumbukumbu; Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Yoabu mwana wa Seruya alikuwa jemadari wa jeshi; Yehoshafati mwana wa Ahiludi alikuwa mweka kumbukumbu; Tazama sura |