Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 18:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

14 Basi Daudi akawatawala Waisraeli wote; akawafanyia hukumu na haki watu wake wote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Hivyo Daudi akatawala juu ya Israeli yote, na akahakikisha ya kwamba watu wake wote wanatendewa haki na usawa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Hivyo Daudi akatawala juu ya Israeli yote, na akahakikisha ya kwamba watu wake wote wanatendewa haki na usawa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Hivyo Daudi akatawala juu ya Israeli yote, na akahakikisha ya kwamba watu wake wote wanatendewa haki na usawa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Daudi akatawala Israeli yote, akitenda lililo haki na sawa kwa watu wake wote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Daudi akatawala Israeli yote, akitenda lililo haki na sawa kwa watu wake wote.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 18:14
13 Marejeleo ya Msalaba  

Daudi akatawala juu ya Israeli wote; naye Daudi akawafanyia hukumu na haki watu wake wote.


Hao wote, watu wa vita, askari stadi, wakaja Hebroni wakiwa na nia moja ya kumtawaza Daudi awe mfalme juu ya Israeli wote; tena wote waliosalia wa Israeli nao walikuwa na moyo mmoja kwamba wamtawaze Daudi.


Akaweka ngome katika Edomu; na Waedomi wote wakawa watumishi wa Daudi. Naye BWANA akampa Daudi ushindi, kila alikokwenda.


Na Yoabu mwana wa Seruya akawa mkuu wa jeshi; na Yehoshafati mwana wa Ahiludi mwenye kuandika tarehe.


Basi Daudi, mwana wa Yese, akawa mfalme juu ya Israeli wote.


Ee Mungu, mpe mfalme hukumu zako, Na mwana wa mfalme haki yako.


Haki na hukumu ndio msingi wa kiti chako, Fadhili na kweli zimo mbele za uso wako.


Mamlaka ya enzi yake yatakuzwa daima, Na kutakuwa na amani isiyo na mwisho, Katika kiti cha enzi cha Daudi na ufalme wake; Kuuthibitisha na kuutegemeza Kwa hukumu na kwa haki, Tangu sasa na hata milele. Wivu wa BWANA wa majeshi ndio utakaotenda hayo.


Je! Utatawala kwa sababu unashindana na watu kwa mierezi? Baba yako, je! Hakula na kunywa, na kufanya hukumu na haki? Hapo ndipo alipofanikiwa.


Katika siku zile, na wakati ule, nitamchipushia Daudi Chipukizi la haki; naye atafanya hukumu na haki katika nchi hii.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo