1 Mambo ya Nyakati 18:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC14 Basi Daudi akawatawala Waisraeli wote; akawafanyia hukumu na haki watu wake wote. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Hivyo Daudi akatawala juu ya Israeli yote, na akahakikisha ya kwamba watu wake wote wanatendewa haki na usawa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Hivyo Daudi akatawala juu ya Israeli yote, na akahakikisha ya kwamba watu wake wote wanatendewa haki na usawa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Hivyo Daudi akatawala juu ya Israeli yote, na akahakikisha ya kwamba watu wake wote wanatendewa haki na usawa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Daudi akatawala Israeli yote, akitenda lililo haki na sawa kwa watu wake wote. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Daudi akatawala Israeli yote, akitenda lililo haki na sawa kwa watu wake wote. Tazama sura |