1 Mambo ya Nyakati 17:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC24 Jina lako na liwe imara, likatukuzwe milele, kusema, BWANA wa majeshi ndiye Mungu wa Israeli, naam, Mungu juu ya Israeli; na hiyo nyumba ya Daudi mtumwa wako imefanywa imara mbele zako. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema24 Nalo jina lako litatukuzwa milele, nao watu watasema, ‘Mwenyezi-Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, ndiye Mungu wa Israeli!’ Na jamaa yangu, mimi Daudi mtumishi wako, itaimarika mbele yako. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND24 Nalo jina lako litatukuzwa milele, nao watu watasema, ‘Mwenyezi-Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, ndiye Mungu wa Israeli!’ Na jamaa yangu, mimi Daudi mtumishi wako, itaimarika mbele yako. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza24 Nalo jina lako litatukuzwa milele, nao watu watasema, ‘Mwenyezi-Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, ndiye Mungu wa Israeli!’ Na jamaa yangu, mimi Daudi mtumishi wako, itaimarika mbele yako. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu24 ili ithibitike na jina lako litakuwa kuu milele. Kisha watu watasema, ‘Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni, Mungu aliye juu ya Israeli, ndiye Mungu wa Israeli.’ Nayo nyumba ya mtumishi wako Daudi itafanywa imara mbele zako. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu24 ili ithibitike na jina lako litakuwa kuu milele. Kisha watu watasema, ‘bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, Mungu aliye juu ya Israeli, ndiye Mungu wa Israeli.’ Nayo nyumba ya mtumishi wako Daudi itafanywa imara mbele zako. Tazama sura |