1 Mambo ya Nyakati 17:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC23 Basi sasa, Ee BWANA, neno lile ulilolinena kuhusu mtumishi wako, na kuhusu nyumba yake, na lifanywe imara milele, ukafanye kama ulivyosema. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema23 “Basi sasa, ewe Mwenyezi-Mungu, liimarishe milele neno lako ulilosema kunihusu mimi mtumishi wako na kuhusu jamaa yangu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND23 “Basi sasa, ewe Mwenyezi-Mungu, liimarishe milele neno lako ulilosema kunihusu mimi mtumishi wako na kuhusu jamaa yangu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza23 “Basi sasa, ewe Mwenyezi-Mungu, liimarishe milele neno lako ulilosema kunihusu mimi mtumishi wako na kuhusu jamaa yangu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu23 “Basi sasa, Ee Mwenyezi Mungu, ahadi uliyoweka kuhusu mtumishi wako na nyumba yake, na uithibitishe milele. Fanya kama ulivyoahidi, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu23 “Sasa basi, bwana ahadi uliyoweka kuhusu mtumishi wako na nyumba yake na uithibitishe milele. Fanya kama ulivyoahidi, Tazama sura |