1 Mambo ya Nyakati 17:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC2 Naye Nathani akamwambia Daudi, Haya, fanya yote yaliyomo moyoni mwako; kwa maana Mungu yu pamoja nawe. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Nathani akamwambia Daudi, “Fanya chochote unachofikiria moyoni mwako, kwa kuwa Mungu yu pamoja nawe.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Nathani akamwambia Daudi, “Fanya chochote unachofikiria moyoni mwako, kwa kuwa Mungu yu pamoja nawe.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Nathani akamwambia Daudi, “Fanya chochote unachofikiria moyoni mwako, kwa kuwa Mungu yu pamoja nawe.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Nathani akamjibu Daudi, “Lolote ulilo nalo moyoni mwako litende, kwa maana Mungu yu pamoja nawe.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Nathani akamjibu Daudi, “Lolote ulilo nalo moyoni mwako litende, kwa maana Mungu yu pamoja nawe.” Tazama sura |