1 Mambo ya Nyakati 17:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 Tena jambo hili lilikuwa dogo machoni pako, Ee Mungu; hata umeleta habari ya nyumba yangu mimi, mtumishi wako, kwa miaka mingi inayokuja, nawe umeniangalia kama mtu mwenye cheo, Ee BWANA Mungu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Isitoshe, umenifanyia mengine zaidi: Umenitolea ahadi juu ya vizazi vyangu vijavyo ee Mwenyezi-Mungu! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Isitoshe, umenifanyia mengine zaidi: Umenitolea ahadi juu ya vizazi vyangu vijavyo ee Mwenyezi-Mungu! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Isitoshe, umenifanyia mengine zaidi: umenitolea ahadi juu ya vizazi vyangu vijavyo ee Mwenyezi-Mungu! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Kana kwamba hili halitoshi machoni pako, Ee Mungu, umenena pia kuhusu siku zijazo za nyumba ya mtumishi wako. Umeniangalia kama mtu aliyetukuka kuliko watu wote, Ee Bwana Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Kana kwamba hili halitoshi machoni pako, Ee Mungu, umenena pia kuhusu siku zijazo za nyumba ya mtumishi wako. Umeniangalia kama mtu aliyetukuka kuliko watu wote, Ee bwana Mwenyezi Mungu. Tazama sura |