Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 17:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 Kwa maneno hayo yote, na kwa maono hayo yote, ndivyo Nathani alivyonena na Daudi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Nathani alimwelezea Daudi mambo yote haya kulingana na maono yote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Nathani alimwelezea Daudi mambo yote haya kulingana na maono yote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Nathani alimwelezea Daudi mambo yote haya kulingana na maono yote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Nathani akamwarifu Daudi maneno yote ya maono haya.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Nathani akamwarifu Daudi maneno yote ya maono haya.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 17:15
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maneno hayo yote, na kwa maono hayo yote, ndivyo Nathani alivyonena na Daudi.


ila nitamstarehesha katika nyumba yangu na katika ufalme wangu milele; na kiti chake cha enzi kitathibitishwa milele.


Ndipo akaingia Daudi mfalme, akaketi mbele za BWANA; akasema Mimi ni nani, Ee BWANA Mungu, na nyumba yangu ni nini, hata umenileta hadi hapa?


Nabii aliye na ndoto, na aseme ndoto yake; na yeye aliye na neno langu, na aseme neno langu kwa uaminifu. Makapi ni kitu gani kuliko ngano? Asema BWANA.


Kwa maana sikujiepusha na kuwahubiria habari ya kusudi lote la Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo