Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 17:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

14 ila nitamstarehesha katika nyumba yangu na katika ufalme wangu milele; na kiti chake cha enzi kitathibitishwa milele.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Bali nitamwimarisha katika nyumba yangu na katika ufalme wangu milele, na kiti chake cha enzi kitakuwa imara daima.’”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Bali nitamwimarisha katika nyumba yangu na katika ufalme wangu milele, na kiti chake cha enzi kitakuwa imara daima.’”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Bali nitamwimarisha katika nyumba yangu na katika ufalme wangu milele, na kiti chake cha enzi kitakuwa imara daima.’”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Nitamweka juu ya nyumba yangu na ufalme wangu milele; kiti chake cha utawala nitakiimarisha milele.’ ”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Nitamweka juu ya nyumba yangu na ufalme wangu milele; kiti chake cha enzi nitakifanya imara milele.’ ”

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 17:14
7 Marejeleo ya Msalaba  

Nitakuwa baba yake, naye atakuwa mwanangu; wala sitamwondolea fadhili zangu, kama nilivyomwondolea yeye aliyekuwa kabla yako;


Kwa maneno hayo yote, na kwa maono hayo yote, ndivyo Nathani alivyonena na Daudi.


Nami nimemweka mfalme wangu Juu ya Sayuni, mlima wangu mtakatifu.


Jina lake na lidumu milele, Pindi ling'aapo jua, umaarufu wake uwepo; Mataifa yote na wabarikiwe katika yeye, Na kumwita heri.


Wazawa wake watadumu milele, Na kiti chake cha enzi kuwa mbele yangu kama jua.


bali Kristo, kama mwana, juu ya nyumba ya Mungu; ambaye nyumba yake ni sisi, kama tukishikamana sana na ujasiri wetu na fahari ya tumaini letu mpaka mwisho.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo