Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 16:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

9 Mwimbieni, mwimbieni nyimbo za kumsifu; Yatangazeni matendo yake yote ya ajabu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Mshangilieni, mwimbieni Mungu sifa; simulieni matendo yake ya ajabu!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Mshangilieni, mwimbieni Mungu sifa; simulieni matendo yake ya ajabu!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Mshangilieni, mwimbieni Mungu sifa; simulieni matendo yake ya ajabu!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Mwimbieni yeye, mwimbieni yeye sifa; waambieni matendo yake yote ya ajabu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Mwimbieni yeye, mwimbieni yeye sifa; waambieni matendo yake yote ya ajabu.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 16:9
16 Marejeleo ya Msalaba  

Jisifuni kwa jina lake takatifu; Na ufurahi moyo wao wamtafutao BWANA.


Watangazieni mataifa habari za utukufu wake, Na watu wote habari za maajabu yake.


Mshukuruni BWANA, liitieni jina lake; Wajulisheni watu matendo yake.


Kumbuka kuitukuza kazi yake, Watu waliyoiimbia.


Ili kuwajulisha watu matendo yake makuu, Na utukufu wa fahari ya ufalme wake.


Sikusitiri haki yako moyoni mwangu; Nimetangaza uaminifu wako na wokovu wako. Sikuficha fadhili zako wala kweli yako Katika kusanyiko kubwa.


Ee Mungu, umenifundisha tokea ujana wangu; Nimekuwa nikitangaza miujiza yako hata leo.


Ndipo wale waliomcha BWANA waliposemezana wao kwa wao. Naye BWANA akasikiliza, akasikia; na kitabu cha ukumbusho kikaandikwa mbele zake, kwa ajili ya hao waliomcha BWANA, na kulitafakari jina lake.


Nao walipokwisha kuimba, wakatoka nje kwenda katika mlima wa Mizeituni.


mkisemezana kwa zaburi na tenzi na nyimbo za rohoni, huku mkiimba na kumshangilia Bwana mioyoni mwenu;


Neno la Kristo na likae kwa wingi ndani yenu katika hekima yote, mkifundishana na kuonyana kwa zaburi, na nyimbo, na tenzi za rohoni; huku mkimwimbia Mungu kwa neema mioyoni mwenu.


Kuna mtu miongoni mwenu anayeteseka? Na aombe. Ana moyo wa kuchangamka? Na aimbe zaburi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo