1 Mambo ya Nyakati 16:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 nao makuhani Benaya na Yahazieli wenye baragumu daima, mbele ya sanduku la Agano la Mungu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 nao makuhani Benania na Yaharieli, walichaguliwa wawe wakipiga tarumbeta mfululizo mbele ya sanduku la agano la Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 nao makuhani Benania na Yaharieli, walichaguliwa wawe wakipiga tarumbeta mfululizo mbele ya sanduku la agano la Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 nao makuhani Benania na Yaharieli, walichaguliwa wawe wakipiga tarumbeta mfululizo mbele ya sanduku la agano la Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 nao Benaya na Yahazieli makuhani, ndio wangepiga tarumbeta mara kwa mara mbele ya Sanduku la Agano la Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 nao Benaya na Yahazieli makuhani, ndio wangepiga tarumbeta mara kwa mara mbele ya Sanduku la Agano la Mungu. Tazama sura |