1 Mambo ya Nyakati 16:37 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC37 Basi akawaacha huko, mbele ya sanduku la Agano la BWANA, Asafu na nduguze, ili watumike mbele ya sanduku daima, kila siku kama ilivyokuwa kazi yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema37 Hivyo, mfalme Daudi akawaacha Asafu na nduguze Walawi mahali walipoliweka sanduku la agano la Mwenyezi-Mungu, kwa ajili ya huduma zinazotakiwa mbele ya sanduku kila siku. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND37 Hivyo, mfalme Daudi akawaacha Asafu na nduguze Walawi mahali walipoliweka sanduku la agano la Mwenyezi-Mungu, kwa ajili ya huduma zinazotakiwa mbele ya sanduku kila siku. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza37 Hivyo, mfalme Daudi akawaacha Asafu na nduguze Walawi mahali walipoliweka sanduku la agano la Mwenyezi-Mungu, kwa ajili ya huduma zinazotakiwa mbele ya sanduku kila siku. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu37 Daudi akamwacha Asafu na wenzake mbele ya Sanduku la Agano la Mwenyezi Mungu, ili wahudumu humo mara kwa mara, kulingana na mahitaji ya kila siku. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu37 Daudi akamwacha Asafu na wenzake mbele ya Sanduku la Agano la bwana ili wahudumu humo mara kwa mara, kulingana na mahitaji ya kila siku. Tazama sura |