1 Mambo ya Nyakati 16:36 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC36 Na ahimidiwe BWANA, Mungu wa Israeli, tangu milele hata milele. Na watu wote wakasema, Amina; wakamhimidi BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema36 Asifiwe Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, tangu milele na hata milele! Kisha watu wote wakasema, “Amina!” Pia wakamsifu Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND36 Asifiwe Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, tangu milele na hata milele! Kisha watu wote wakasema, “Amina!” Pia wakamsifu Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza36 Asifiwe Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, tangu milele na hata milele! Kisha watu wote wakasema, “Amina!” Pia wakamsifu Mwenyezi-Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu36 Atukuzwe Mwenyezi Mungu, Mungu wa Israeli, tangu milele na hata milele. Nao watu wote wakasema, “Amen,” na “Msifuni Mwenyezi Mungu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu36 Atukuzwe bwana, Mungu wa Israeli, tangu milele na hata milele. Nao watu wote wakasema, “Amen,” na “Msifuni bwana.” Tazama sura |