1 Mambo ya Nyakati 16:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC31 Mbingu na zifurahi, nchi na ishangilie; Na waseme katika mataifa, BWANA ametamalaki; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 Furahini enyi mbingu na dunia! Yaambieni mataifa, “Mwenyezi-Mungu anatawala!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 Furahini enyi mbingu na dunia! Yaambieni mataifa, “Mwenyezi-Mungu anatawala!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 Furahini enyi mbingu na dunia! Yaambieni mataifa, “Mwenyezi-Mungu anatawala!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 Mbingu na zishangilie, nchi na ifurahi; semeni katika mataifa, “Mwenyezi Mungu anatawala!” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 Mbingu na zishangilie, nchi na ifurahi; semeni katikati ya mataifa, “bwana anatawala!” Tazama sura |