Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 16:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

30 Tetemekeni mbele zake, nchi yote. Naam, ulimwengu umethibitika usitikisike;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Ee dunia yote; tetemeka mbele yake! Ameuweka ulimwengu imara, hautatikisika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Ee dunia yote; tetemeka mbele yake! Ameuweka ulimwengu imara, hautatikisika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Ee dunia yote; tetemeka mbele yake! Ameuweka ulimwengu imara, hautatikisika.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Dunia yote na itetemeke mbele zake! Ulimwengu ameuweka imara; hauwezi kusogezwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Dunia yote na itetemeke mbele zake! Ulimwengu ameuweka imara; hauwezi kusogezwa.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 16:30
15 Marejeleo ya Msalaba  

Mwimbieni BWANA, nchi yote; Tangazeni wokovu wake siku baada ya siku.


Kwa kuwa BWANA ni mkuu mwenye kusifiwa sana; Na wa kuhofiwa kuliko miungu yote.


Mpeni BWANA utukufu wa jina lake; Leteni sadaka, na mje mbele zake; Mwabuduni BWANA kwa uzuri wa utakatifu;


Mbingu na zifurahi, nchi na ishangilie; Na waseme katika mataifa, BWANA ametamalaki;


Maana Yeye alisema, na ikawa; Na Yeye aliamuru, ikaumbika.


Toka mbinguni ulitangaza hukumu; Nchi iliogopa, ikakaa kimya.


BWANA ametamalaki, amejivika adhama, BWANA amejivika, ukuu na nguvu, kama mavazi ya kifalme. Naam, ulimwengu umethibitika usitikisike;


Mwabuduni BWANA kwa uzuri wa utakatifu, Tetemekeni mbele zake, nchi yote.


BWANA ametamalaki, mataifa wanatetemeka; Ameketi juu ya makerubi, nchi inatikisika.


BWANA asema hivi, Wakati uliokubalika nimekujibu, na siku ya wokovu nimekusaidia; nami nitakuhifadhi, nitakutoa uwe agano la watu hawa, ili kuiinua nchi hii, na kuwarithisha urithi uliokuwa ukiwa;


Ameiumba dunia kwa uweza wake, Ameuthibitisha ulimwengu kwa hekima yake, Na kwa ufahamu wake amezitandika mbingu.


Naye amekuwako kabla ya vitu vyote, na vitu vyote hushikana katika yeye.


Yeye kwa kuwa ni mng'ao wa utukufu wa Mungu na chapa kamili ya nafsi yake, akivichukua vyote kwa amri ya uweza wake, akiisha kufanya utakaso wa dhambi, aliketi katika mkono wa kulia wa Ukuu huko juu;


Malaika wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti kuu katika mbingu, zikisema, Ufalme wa dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana wetu na wa Kristo wake, naye atamiliki hata milele na milele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo