1 Mambo ya Nyakati 16:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC29 Mpeni BWANA utukufu wa jina lake; Leteni sadaka, na mje mbele zake; Mwabuduni BWANA kwa uzuri wa utakatifu; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema29 Mpeni Mwenyezi-Mungu heshima ya utukufu wa jina lake; leteni tambiko na kuingia nyumbani mwake. Mwabuduni Mwenyezi-Mungu patakatifuni pake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND29 Mpeni Mwenyezi-Mungu heshima ya utukufu wa jina lake; leteni tambiko na kuingia nyumbani mwake. Mwabuduni Mwenyezi-Mungu patakatifuni pake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza29 Mpeni Mwenyezi-Mungu heshima ya utukufu wa jina lake; leteni tambiko na kuingia nyumbani mwake. Mwabuduni Mwenyezi-Mungu patakatifuni pake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu29 mpeni Mwenyezi Mungu utukufu unaostahili jina lake. Leteni sadaka na mje katika nyua zake. Mwabuduni Mwenyezi Mungu katika uzuri wa utakatifu wake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu29 mpeni bwana utukufu unaostahili jina lake. Leteni sadaka na mje katika nyua zake; mwabuduni bwana katika uzuri wa utakatifu wake. Tazama sura |