1 Mambo ya Nyakati 16:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC21 Hakumwacha mtu awaonee; Hata wafalme aliwakemea kwa ajili yao; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Mungu hakumruhusu mtu yeyote awadhulumu; kwa ajili yao aliwaonya wafalme: Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Mungu hakumruhusu mtu yeyote awadhulumu; kwa ajili yao aliwaonya wafalme: Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Mungu hakumruhusu mtu yeyote awadhulumu; kwa ajili yao aliwaonya wafalme: Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Hakuruhusu mtu yeyote awadhulumu; kwa ajili yao aliwakemea wafalme, akisema: Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Hakuruhusu mtu yeyote awaonee; kwa ajili yao aliwakemea wafalme, akisema: Tazama sura |