Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 16:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Akisema, Nitakupa wewe nchi ya Kanaani, Iwe urithi wenu mliopimiwa;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Alisema: “Nitawapeni nchi ya Kanaani, nayo itakuwa mali yenu wenyewe.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Alisema: “Nitawapeni nchi ya Kanaani, nayo itakuwa mali yenu wenyewe.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Alisema: “Nitawapeni nchi ya Kanaani, nayo itakuwa mali yenu wenyewe.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 “Nitakupa wewe nchi ya Kanaani kuwa sehemu utakayoirithi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 “Nitakupa wewe nchi ya Kanaani kuwa sehemu utakayoirithi.”

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 16:18
9 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akamtokea Abramu, akasema, Uzao wako nitawapa nchi hii. Naye akamjengea BWANA madhabahu huko alikomtokea.


maana nchi hii yote uionayo, nitakupa wewe na uzao wako hata milele.


Nami nitakupa wewe na uzao wako baada yako nchi hii unayokaa kama mgeni, nchi yote ya Kanaani, kuwa milki ya milele; nami nitakuwa Mungu wao.


Mlipokuwa watu wawezao kuhesabiwa; Naam, watu wachache na wageni ndani yake.


Kwa hiyo hamtakuwa na mtu atakayeitupa kamba kwa kura katika mkutano wa BWANA.


Yeye Aliye Juu alipowapa mataifa urithi wao, Alipowabagua wanadamu, Aliweka mipaka ya watu Kwa kadiri ya hesabu ya wana wa Israeli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo