Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 16:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 Likumbukeni agano lake milele, Neno lile aliloviamuru vizazi elfu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Yeye hulishika agano lake milele, hutimiza ahadi zake kwa vizazi elfu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Yeye hulishika agano lake milele, hutimiza ahadi zake kwa vizazi elfu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Yeye hulishika agano lake milele, hutimiza ahadi zake kwa vizazi elfu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Hulikumbuka agano lake milele, neno ambalo aliamuru, kwa vizazi elfu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Hulikumbuka agano lake milele, neno ambalo aliamuru, kwa vizazi elfu,

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 16:15
7 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye, BWANA, ndiye Mungu wetu; Duniani kote kuna hukumu zake.


Agano alilofanya na Abrahamu, Na kiapo chake kwa Isaka;


Analikumbuka agano lake milele; Neno lile aliloviamuru vizazi elfu.


Njia zote za BWANA ni fadhili na kweli, Kwao walishikao agano lake na shuhuda zake.


Haya yote yametupata, bali hatukukusahau, Wala hatukulivunja agano lako.


Ikumbukeni Torati ya Musa, mtumishi wangu, niliyomwamuru huko Horebu kwa ajili ya Israeli wote, naam, amri na hukumu.


Basi jueni ya kuwa BWANA, Mungu wenu, ndiye Mungu; Mungu mwaminifu, ashikaye agano lake na rehema zake kwao wampendao, na kushika amri zake, hadi vizazi elfu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo