Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 16:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Enyi wazao wa Israeli, mtumishi wake, Enyi wana wa Yakobo, wateule wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 enyi wazawa wa Abrahamu, mtumishi wake, enyi wazawa wa Yakobo, wateule wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 enyi wazawa wa Abrahamu, mtumishi wake, enyi wazawa wa Yakobo, wateule wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 enyi wazawa wa Abrahamu, mtumishi wake, enyi wazawa wa Yakobo, wateule wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 enyi wazao wa Israeli mtumishi wake, enyi wana wa Yakobo, wateule wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 enyi wazao wa Israeli mtumishi wake, enyi wana wa Yakobo, wateule wake.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 16:13
13 Marejeleo ya Msalaba  

Agano langu nitalifanya imara kati yangu na wewe, na uzao wako baada yako, na vizazi vyao, kuwa agano la milele, kwamba nitakuwa Mungu kwako na kwa uzao wako baada yako.


Yakumbukeni matendo yake yote ya ajabu aliyoyafanya; Miujiza yake na hukumu za kinywa chake;


Yeye, BWANA, ndiye Mungu wetu; Duniani kote kuna hukumu zake.


Enyi wazawa wa Abrahamu, mtumishi wake; Enyi wana wa Yakobo, wateule wake.


Kwa sababu BWANA amejichagulia Yakobo, Na Israeli, wawe watu wake hasa.


Nawe, Israeli, mtumishi wangu; Yakobo, niliyekuchagua; mzao wa Abrahamu, rafiki yangu;


Lisikieni neno hili alilolisema BWANA juu yenu, enyi wana wa Israeli, juu ya jamaa yote niliowapandisha kutoka nchi ya Misri, nikisema,


Tena, BWANA aliwafurahia baba zako, na kuwapenda, akawachagua wazao wao baada yao, naam, na ninyi zaidi ya mataifa yote kama hivi leo.


Kwa maana wewe u taifa takatifu kwa BWANA, Mungu wako; BWANA Mungu wako, amekuchagua kuwa watu wake hasa, zaidi ya mataifa yote walioko juu ya uso wa nchi.


Bali ninyi ni uzao mteule, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, watu wa milki ya Mungu, mpate kuzitangaza fadhili zake yeye aliyewaita mtoke gizani mkaingie katika nuru yake ya ajabu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo