Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 16:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 Yakumbukeni matendo yake yote ya ajabu aliyoyafanya; Miujiza yake na hukumu za kinywa chake;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Kumbukeni matendo ya ajabu aliyotenda, maajabu yake na hukumu alizotoa,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Kumbukeni matendo ya ajabu aliyotenda, maajabu yake na hukumu alizotoa,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Kumbukeni matendo ya ajabu aliyotenda, maajabu yake na hukumu alizotoa,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Kumbuka matendo ya ajabu aliyoyafanya, miujiza yake na hukumu alizozitamka,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Kumbuka matendo ya ajabu aliyoyafanya, miujiza yake na hukumu alizozitamka,

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 16:12
17 Marejeleo ya Msalaba  

Enyi wazao wa Israeli, mtumishi wake, Enyi wana wa Yakobo, wateule wake.


Yeye, BWANA, ndiye Mungu wetu; Duniani kote kuna hukumu zake.


Ee nafsi yangu, umhimidi BWANA, Wala usizisahau fadhili zake zote.


Amefanya ukumbusho wa matendo yake ya ajabu; BWANA ni mwenye fadhili na rehema.


Kwa midomo yangu nimezisimulia Hukumu zote za kinywa chako.


Ee BWANA, Wewe ndiwe mwenye haki, Na hukumu zako ni za adili.


Roho yangu imepondeka kwa kutamani Hukumu zako kila wakati.


Najua ya kuwa hukumu zako ni za haki, Ee BWANA, na kwa uaminifu umenitesa.


Kicho cha BWANA ni kitakatifu, Kinadumu milele. Hukumu za BWANA ni kweli, Zina haki kabisa.


Nitayakumbuka matendo ya BWANA; Naam, nitayakumbuka maajabu yako ya kale.


Alivyoziweka ishara zake katika Misri, Na miujiza yake katika uwanda wa Soani.


Kisha itakuwa hapo mwanao atakapokuuliza kesho, akisema, Ni nini hivi? Utamwambia, BWANA alimtoa Misri, kutoka ile nyumba ya utumwa, kwa uwezo wa mkono wake;


Musa akawaambia hao watu, Kumbukeni siku hii, mliyotoka nchi ya Misri, kutoka nyumba ya utumwa; kwa kuwa BWANA aliwatoa mahali hapa kwa nguvu za mkono wake; na usiliwe mkate uliochachwa.


Jinsi zilivyo kuu utajiri na hekima na maarifa ya Mungu! Hukumu zake hazichunguziki, wala njia zake hazieleweki!


Nikaisikia hiyo madhabahu ikisema, Naam, Bwana Mungu Mwenyezi, hukumu zako ni za kweli, na haki.


kwa kuwa hukumu zake ni za kweli na haki; maana amemhukumu yule kahaba mkuu aliyeiharibu nchi kwa uasherati wake, na kuipatiliza damu ya watumwa wake mkononi mwake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo